Hadith #397Hadith #397

Hadith #397

Swahili (Kiswahili)

Watu wa aina tatu siku ya Qiyama Allah Hataongea nao, wala kuwataharisha, na wala Hatawaangalia kwa jicho la Rehema, na hao watapewa adhabu iliyo kali iumizayo: mzinifu mzee, kiongozi muongo, na maskini mwenye kiburi.

Reference: صحيح مسلم، كتاب الإيمان، باب بيان غلظ تحريم...إلخ، الحدیث 107

Available in Other Languages