
Hadith #174
Swahili (Kiswahili)Pindi (siku) kumi za mwisho (za mwezi wa Ramadhan) zinapoingia, basi Mtume hukesha usiku (katika ibada) na huwaamsha wana familia pia, na akifanya kwa juhudi zote na akiukaza mkanda.
Reference: صحيح مسلم، کتاب الطهارة، باب الصلاة الخمس۔۔۔الخ، الحدیث 233