
Hadith #15
Swahili (Kiswahili)Mwenye kushikamana na Sunnah (mwenendo wangu) zangu wakati wa ufisadi katika ummah wangu, basi atapata thawabu ya mashahidi (wenye kuuawa kwenye njia ya Allah) 100.
Reference: (مشكاۃ المصابيح، كتاب الإیمان، باب الاعتصام، الحدیث 176)