Hadith #237Hadith #237

Hadith #237

Swahili (Kiswahili)

Mwenye kumuomba Allah kifo cha shahidi (kuuawa katika njia ya Allah), basi Allah atamuinua katika daraja ya mashahidi, hata kama atafariki kitandani mwake.

Reference: صحیح مسلم ،كتاب الإمارۃ، باب استحباب طلب الشهادة في سبيل الله، الحدیث 1909

Available in Other Languages