Hadith #157Hadith #157

Hadith #157

Swahili (Kiswahili)

Mwenye kufunga (swaum) ndani ya mwezi wa Ramadhan katika hali ya imani na kutaka thawabu, husamehewa madhambi yake yaliyotangulia.

Reference: صحيح البخاري، ‌كتاب الإيمان، ‌باب صوم رمضان احتسابا من الإيمان، الحدیث 38

Available in Other Languages