
Hadith #138
Swahili (Kiswahili)Muumini si mwenye kutia doa (watu kwa kuwatafutia makosa), kulaani, kuzungumza maneno yasiyofaa na kutoa kauli yenye kukejeli.
Reference: جامع الترمذي، أبواب البر والصلة، باب ما جاء في اللعنة، الحدیث 1977

Muumini si mwenye kutia doa (watu kwa kuwatafutia makosa), kulaani, kuzungumza maneno yasiyofaa na kutoa kauli yenye kukejeli.
Reference: جامع الترمذي، أبواب البر والصلة، باب ما جاء في اللعنة، الحدیث 1977