
Hadith #197
Swahili (Kiswahili)Mnapoona (kuandama) mwezi wa Dhul Hijjah (Mfungo Tatu) na akataka mmoja wenu kuchinja, basi ajizuie (kunyoa) nywele na (kukata) kucha.
Reference: صحیح مسلم، كتاب الأضاحي، باب نهي من دخل عليه عشر ذي الحجة۔۔۔إلخ، الحدیث 1977