
Hadith #406
Swahili (Kiswahili)(Malaika Mtukufu) Jibrael Alaihissalaam aliendelea kunielezea kuhusu haki za majirani hadi nikahisi kuwa jirani atakuja kuteuliwa mrithi.
Reference: صحیح البخاري، كتاب الأدب، باب الوصاة بالجار، الحدیث 6015

(Malaika Mtukufu) Jibrael Alaihissalaam aliendelea kunielezea kuhusu haki za majirani hadi nikahisi kuwa jirani atakuja kuteuliwa mrithi.
Reference: صحیح البخاري، كتاب الأدب، باب الوصاة بالجار، الحدیث 6015