
Hadith #98
Swahili (Kiswahili)Haachi mtu kujinyanyua (kwa kujitukuza na kiburi) mpaka ataandikwa miongoni mwa wenye kiburi kisha atakuja kupata (katika mateso) kama watakavyopata wao.
Reference: جامع الترمذي، أبواب البر والصلة، باب ما جاء في الكبر، الحدیث 2000